Romans 7:24-25
24Maskini miye! Nani atakayeniokoa kutoka katika mwili huu unaonipeleka kifoni?q
25Shukrani kwa Mungu afanyaye hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo! Hii basi, ndiyo hali yangu: mimi binafsi, kwa akili yangu, ninaitumikia sheria ya dhambi.r
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa