Midvash

Matthew 15:6-9

6basi, hapaswi tena kumheshimu baba yake! Ndivyo mnavyodharau neno la Mungu kwa kufuata mafundisho yenu wenyewe.

7Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:

8Watu hawa, asema Mungu, huniheshimu kwa maneno tu, lakini mioyoni mwao wako mbali nami.a

9Kuniabudu kwao hakufai, maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.”b

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode