Luke 23:26
26Walipokuwa wakimpeleka, walikutana na mtu mmoja, aitwaye Simoni wa Kurene, aliyekuwa anatoka shambani. Basi, walimkamata, wakamtwika ule msalaba auchukue nyuma ya Yesu.
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa
26Walipokuwa wakimpeleka, walikutana na mtu mmoja, aitwaye Simoni wa Kurene, aliyekuwa anatoka shambani. Basi, walimkamata, wakamtwika ule msalaba auchukue nyuma ya Yesu.
Biblia Takatifu (SUV) Mali ya umma (Public Domain). Agano Jipya kwa Kiswahili, toleo la kale la 1850.
Midvash cross references + OpenBible.info data (CC BY 4.0).