Mark 13:17-19
17Ole wao waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!
18Ombeni ili mambo hayo yasitukie nyakati za baridi.
19Maana wakati huo kutakuwa na dhiki ambayo haijatokea tangu Mungu alipoumba ulimwengu mpaka leo, wala haitatokea tena.
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa