Midvash

John 5:27-29

27Tena amempa mamlaka ya kuhukumu kwa sababu yeye ni Mwana wa Mtu.

28Msistaajabie jambo hili; maana wakati unakuja ambapo wote waliomo makaburini wataisikia sauti yake,n

29nao watafufuka: wale waliotenda mema watafufuka na kuishi, na wale waliotenda maovu watafufuka na kuhukumiwa.o

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode