Midvash

Mark 9:21-22

21“Amepatwa na mambo hayo tangu lini?” Naye akamjibu, “Tangu utoto wake.

22Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode