Mark 13:35-37
35Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.i
36Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.
37Ninayowaambieni ninyi, nawaambia wote: Kesheni!”
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa