Midvash

John 10:30-33

30Mimi na Baba, tu mmoja.”q

31Basi, Wayahudi wakachukua mawe ili wamtupie.

32Yesu akawaambia, “Nimewaonyesheni kazi nyingi kutoka kwa Baba. Ni ipi kati ya hizo inayowafanya mnipige mawe?”

33Wayahudi wakamjibu, “Hatukupigi mawe kwa ajili ya tendo jema, ila kwa sababu ya kukufuru! Maana wajifanya kuwa Mungu hali wewe ni binadamu tu.”r

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode