Midvash

Mark 13:33-37

33Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.h

34Itakuwa kama mtu anayeondoka nyumbani kwenda safari akiwaachia watumishi wake madaraka, kila mmoja na kazi yake; akamwambia mlinzi wa mlango awe macho.

35Kesheni, basi, kwa maana hamjui mwenye nyumba atarudi lini; huenda ikawa jioni, usiku wa manane, alfajiri au asubuhi.i

36Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.

37Ninayowaambieni ninyi, nawaambia wote: Kesheni!”

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode