Mark 11:22-23
22Yesu akawaambia, “Mwaminini Mungu.d
23Nawaambieni kweli, mtu akiuambia mlima huu: Ng'oka ukajitose baharini bila kuona shaka moyoni mwake, ila akaamini kwamba mambo yote anayosema yanafanyika, atafanyiwa jambo hilo.e
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa