Luke 9:30-31
30Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao ni Mose na Eliya,
31ambao walitokea wakiwa wenye utukufu, wakazungumza naye juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha huko Yerusalemu.
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa
30Na watu wawili wakaonekana wakizungumza naye, nao ni Mose na Eliya,
31ambao walitokea wakiwa wenye utukufu, wakazungumza naye juu ya kifo chake ambacho angekikamilisha huko Yerusalemu.
Biblia Takatifu (SUV) Mali ya umma (Public Domain). Agano Jipya kwa Kiswahili, toleo la kale la 1850.
Midvash cross references + OpenBible.info data (CC BY 4.0).