Luke 6:35-36
35Ila nyinyi wapendeni adui zenu, na kuwatendea mema; kopesheni bila kutazamia malipo, na tuzo lenu litakuwa kubwa, nanyi mtakuwa watoto wa Mungu aliye juu. Kwa maana yeye ni mwema kwa wale wasio na shukrani na walio wabaya.l
36Muwe na huruma kama Baba yenu alivyo na huruma.m
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa