Midvash

John 4:1-3

1Mafarisayo walisikia kwamba Yesu alikuwa anabatiza na kuwapata wanafunzi wengi kuliko Yohane.a

2(Lakini ukweli ni kwamba Yesu hakuwa anabatiza ila wanafunzi wake.)

3Basi, Yesu aliposikia hayo, alitoka Yudea akarudi Galilaya;

Copiado para área de transferência

Text Size

Aa

Reading Theme

Reading mode