John 1:33-34
33Mimi sikumjua, lakini yule aliyenituma nikabatize watu kwa maji alikuwa ameniambia: Mtu yule utakayemwona Roho akimshukia kutoka mbinguni na kukaa juu yake, huyo ndiye anayebatiza kwa Roho Mtakatifu.u
34Mimi nimeona na ninawaambieni kwamba huyu ndiye Mwana wa Mungu.”v
Copiado para área de transferência
Text Size
Aa